dcsimg

Walanyama ( Swahili )

provided by wikipedia emerging languages
 src=
Dubu Kahawia, mmoja kati ya walanyama wakubwa zaidi.

Walanyama (pia: Wagwizi; kwa Kilatini: Carnivora) ni mpangilio wa kisayansi ambao hujumuisha aina zaidi ya 280 za wanyama wa ngeli ya mamalia (wanaonyonyesha wadogo wao)[1].

Ukubwa wao unaanzia kwa vicheche wadogo kama (Mustela nivalis), mwenye gramu 25 na sentimeta 11, hadi dubu barafu (Ursus maritimus), ambaye anaweza kupima kilogramu 1,000, na Tembo-bahari wa kusini (Mirounga leonina), ambao wanaume wazima wanafikia kilogramu 5,000 (lb 11,000) na urefu wa mita 6.9 (futi 23).

Picha

Tanbihi

  1. Flynn, J. J.; Finarelli, J. A.; Zehr, S.; Hsu, J.; Nedbal, M. A. (April 2005). "Molecular phylogeny of the Carnivora (Mammalia): Assessing the impact of increased sampling on resolving enigmatic relationships". Systematic Biology 54 (2): 317–37. doi:10.1080/10635150590923326 . PMID 16012099

Viungo vya nje

Morpho didius Male Dos MHNT.jpg Makala hii kuhusu mambo ya biolojia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Walanyama kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
license
cc-by-sa-3.0
copyright
Waandishi wa Wikipedia na wahariri

Walanyama: Brief Summary ( Swahili )

provided by wikipedia emerging languages
 src= Dubu Kahawia, mmoja kati ya walanyama wakubwa zaidi.  src= Paka na mbwa, wanyama wa nyumbani.

Walanyama (pia: Wagwizi; kwa Kilatini: Carnivora) ni mpangilio wa kisayansi ambao hujumuisha aina zaidi ya 280 za wanyama wa ngeli ya mamalia (wanaonyonyesha wadogo wao).

Ukubwa wao unaanzia kwa vicheche wadogo kama (Mustela nivalis), mwenye gramu 25 na sentimeta 11, hadi dubu barafu (Ursus maritimus), ambaye anaweza kupima kilogramu 1,000, na Tembo-bahari wa kusini (Mirounga leonina), ambao wanaume wazima wanafikia kilogramu 5,000 (lb 11,000) na urefu wa mita 6.9 (futi 23).

license
cc-by-sa-3.0
copyright
Waandishi wa Wikipedia na wahariri