dcsimg

Kobe ( Swahili )

provided by wikipedia emerging languages

Makobe ni wanyama wadogo hadi wakubwa wa oda Testudines katika ngeli Reptilia. Spishi zinazoishi baharini huitwa kasa.

Kiwiliwili chao kimefunikwa kwa gamba gumu liitwalo galili. Kwa kawaida galili hii ni yabisi, lakini kuna spishi zilizo na galili nyumbufu, zote spishi za maji. Kichwa, miguu na mkia inachomoza kutoka galili lakini katika spishi nyingi inaweza kuvutwa ndani, spishi za nchi kavu hasa.

Spishi za Afrika ya Mashariki

CRYPTODIRA

Familia Dermochelyidae

Familia Testudinidae

Familia Trionychidae

PLEURODIRA

Picha

Crystal Clear app babelfish vector.svg Makala hii kuhusu mnyama fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kobe kama uainishaji wake wa kibiolojia, maisha au uenezi wake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
license
cc-by-sa-3.0
copyright
Waandishi wa Wikipedia na wahariri

Kobe: Brief Summary ( Swahili )

provided by wikipedia emerging languages

Makobe ni wanyama wadogo hadi wakubwa wa oda Testudines katika ngeli Reptilia. Spishi zinazoishi baharini huitwa kasa.

Kiwiliwili chao kimefunikwa kwa gamba gumu liitwalo galili. Kwa kawaida galili hii ni yabisi, lakini kuna spishi zilizo na galili nyumbufu, zote spishi za maji. Kichwa, miguu na mkia inachomoza kutoka galili lakini katika spishi nyingi inaweza kuvutwa ndani, spishi za nchi kavu hasa.

license
cc-by-sa-3.0
copyright
Waandishi wa Wikipedia na wahariri