dcsimg

Tongo ( Swahili )

provided by wikipedia emerging languages

Tongo ni ndege wadogo wa jenasi mbalimbali katika familia Estrildidae ambao wanatokea Afrika na Asia. Wanafanana na mishigi lakini rangi zao ni nyeusi, kijivu, kahawia na nyeupe tu.

Hula mbegu hasa, lakini wadudu pia, hususa makinda.

Tago lao ni tufe la manyasi lenye mwingilio kwa kando. Jike huyataga mayai 2-7.

Spishi za Afrika

Spishi za Asia

Picha

license
cc-by-sa-3.0
copyright
Waandishi wa Wikipedia na wahariri

Tongo: Brief Summary ( Swahili )

provided by wikipedia emerging languages

Tongo ni ndege wadogo wa jenasi mbalimbali katika familia Estrildidae ambao wanatokea Afrika na Asia. Wanafanana na mishigi lakini rangi zao ni nyeusi, kijivu, kahawia na nyeupe tu.

Hula mbegu hasa, lakini wadudu pia, hususa makinda.

Tago lao ni tufe la manyasi lenye mwingilio kwa kando. Jike huyataga mayai 2-7.

license
cc-by-sa-3.0
copyright
Waandishi wa Wikipedia na wahariri