dcsimg

Lugowi ( Swahili )

provided by wikipedia emerging languages

Lugowi (Cynodon spp.) ni jina la spishi za nyasi katika nusufamilia Chloridoideae. Masuke kadhaa yanamea juu ya ubua kwa umbo wa vidole vya mkono.

Lugowi wa kawaidi unatoka Mashariki ya Kati kwa asili, lakini siku hizi hupandwa sana katika maeneo ya hewa ya joto. Spishi nyingine sita zinatokea Afrika kwa asili.

Spishi

Picha

license
cc-by-sa-3.0
copyright
Waandishi wa Wikipedia na wahariri

Lugowi: Brief Summary ( Swahili )

provided by wikipedia emerging languages

Lugowi (Cynodon spp.) ni jina la spishi za nyasi katika nusufamilia Chloridoideae. Masuke kadhaa yanamea juu ya ubua kwa umbo wa vidole vya mkono.

Lugowi wa kawaidi unatoka Mashariki ya Kati kwa asili, lakini siku hizi hupandwa sana katika maeneo ya hewa ya joto. Spishi nyingine sita zinatokea Afrika kwa asili.

license
cc-by-sa-3.0
copyright
Waandishi wa Wikipedia na wahariri