dcsimg

Kucha (Hyliota) ( Suaíli )

fornecido por wikipedia emerging languages

Kucha wa jenasi Hyliota ni ndege wadogo ambao zamani waliainishwa katika Sylviidae, familia ya kucha wengine. Sasa wataalamu wanakubaliana kwamba ndege hawa hawana mnasaba na Sylviidae. Labda wana mnasaba na familia Promeropidae (ndegesukari wa Afrika Kusini). Hadhi yao haijaamua bado lakini wapewa familia yao kwa sasa: Hyliotidae. Wanafanana na tatata. Kucha hawa wana rangi ya nyeusi au zambarau mgongoni na nyeupe, machungwa au njano chini. Hula wadudu na pengine beri na mbegu. Hulijenga tago lao kwa umbo wa kikombe ndani ya uoto mzito. Jike huyataga mayai 2-5.

Spishi za Afrika

licença
cc-by-sa-3.0
direitos autorais
Waandishi wa Wikipedia na wahariri
original
visite a fonte
site do parceiro
wikipedia emerging languages

Kucha (Hyliota): Brief Summary ( Suaíli )

fornecido por wikipedia emerging languages

Kucha wa jenasi Hyliota ni ndege wadogo ambao zamani waliainishwa katika Sylviidae, familia ya kucha wengine. Sasa wataalamu wanakubaliana kwamba ndege hawa hawana mnasaba na Sylviidae. Labda wana mnasaba na familia Promeropidae (ndegesukari wa Afrika Kusini). Hadhi yao haijaamua bado lakini wapewa familia yao kwa sasa: Hyliotidae. Wanafanana na tatata. Kucha hawa wana rangi ya nyeusi au zambarau mgongoni na nyeupe, machungwa au njano chini. Hula wadudu na pengine beri na mbegu. Hulijenga tago lao kwa umbo wa kikombe ndani ya uoto mzito. Jike huyataga mayai 2-5.

licença
cc-by-sa-3.0
direitos autorais
Waandishi wa Wikipedia na wahariri
original
visite a fonte
site do parceiro
wikipedia emerging languages